Jumatano, 12 Agosti 2015

BREAKING NEWS: Dr. Slaa aibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema Mambo Mazito kuhusu Lowassa


Dr. Slaa aibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema Mambo Mazito kuhusu Lowassa…Hapa Chini unaweza Kusoma Mambo yote aliyosema kuhusu Lowassa na Chadema…

Habari Mpya Kutoka MUHIMBILI Ambako Freeman Mbowe Amelazwa Baada ya Kuugua Ghafla


Hali ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai anayemaliza muda wake, mh Freeman Aikae Mbowe, imeendelea kuimarika.
Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi uliopita katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili, anakopatiwa matibabu, mh Mbowe, amesema anaendelea vizuri na kwamba bado anaendelea kupumzika hospitalini hapo, kama alivyopangiwa na madaktari wanaoangalia hali yake.
”Hali yangu imeendelea kuimarika na kilichonipata jana kwa mujibu wa uchunguzi wa madaktari ni uchovu wa muda mrefu, uliobainishwa kutokana na shughuli za muda mrefu bila kupumzika katika shughuli zangu za kisiasa” amesema Mbowe.
Mh Mbowe ameongeza kwamba, madaktari wamemtaka kuendelea kuwa chini ya uangalizi wao mpaka hapo watakapo mruhusu kuendelea na shughuli zake za kwawaida.
Mmoja kati ya madaktari wanaoangalia afya ya mh Mbowe, Dr Tulizo Sanga(daktari bingwa wa magonjwa ya moyo) ,amewaambia waandishi wa habari hospitalini hapo kwamba, mh Mbowe alipokelewa jana akitokea Hospitali ya Doctors Mall ya Kinondoni,jijini Dar Es Salaam, kwa ajili ya uangalizi na uchunguzi zaidi kutokana na kuugua ghafla wakati akiwa katika msafara wa mgombea urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.
Mh Mbowe amelazwa katika hospitali ya Muhimbili, kitengo cha moyo, baada ya kuugua ghafla jana na kukimbizwa hospitalini hapo.
 
Nae James Mbatia mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, ambaye pia ni mwenyekiti mwenza wa UKAWA, amefika hospitalini hapo kumjulia hali mh Mbowe, na amesema pamoja na hali ya kuumwa ya mh Mbowe, wao bado wanaendelea kufanya kazi na kwamba ratiba mbalimbali za vikao vya UKAWA ziko palepale, na amewaomba watanzania kuwa watulivu na kuendelea kumuombea mh Mbowe, apone haraka.

Jumatatu, 10 Agosti 2015

Mgombea Urais Kupitia UKAWA Achukua Fomu Leo


Mgombea urais kwa tiketi ya UKAWA Mheshimiwa Edward Lowassa leo hii achukua fomu ya kugombea urais.
Kundi kubwa la maandamano ya wanachama na wakereketwa wake wamsindikiza kwenye ofisi za tume ya taifa ya uchaguzi
Maandamano hayo yalianzia katika makao makuu ya Chadema





Jeshi la polisi lakanusha kupiga marufuku maandamano ya kumsindikiza kuchukua fomu mgombea wa urais Chadema, Edward Lowassa


Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar  es  Salaam Suleiman Kova amekanusha  kupiga marufuku  maandamano  ya  kumsindikiza  Lowassa  Kuchukua  fomu ya  kugombea  urais  ofisi  za  tume  ya  taifa  ya  uchaguzi.
Kova amesema kuwa maandamano wanayo yatambua ni yale yanayo anzia ofisi  za  CHADEMA kwenda NEC,lakini ya kutoka Nec kwenda makao makuu ya CUF Buguruni hawayatambui.
Katika  Hatua  nyingine, Mwenyekiti  wa  CHADEMA,Freeman  Mbowe  amesema  hawana  taarifa  yoyote  ya  zuio  la  maandamano  toka  jeshi  la  polisi.
Mbowe  amesisitiza  kuwa  maandamano  ya  kumsindikiza  Lowassa  NEC  yako  palepale  na  amewataka  wapenzi  na  wafuasi  wa  UKAWA  wasiogope.

Jinsi ya kumuandaa mwanamke (Angalizo; Wasome wanaume tu)

.



Linapokuja swala la kujamiiana kwa wapenzi wapya ambao hawajawahi kukutana kimwili tangu kujuana kwao ni mtihani mkubwa. Kwani kila mmoja anakuwa na matarajio tofauti na mwenzake. Yaani hakuna anayejua kwa usahihi kwamba mwenzake anapenda afanyiwe nini ili kupata ashki ya kushiriki jambo hilo, lakini wanawake wengi ndio ambao hulichukulia jambo hilo kwa uzito mkubwa kiasi kwamba, kama mwanaume asipomudu kuwa mtundu kitandani, nafasi yake kwa mwanamke huyo inaweza kuwa finyu sana labda tu kama atakuwa amempendea pesa…
Hapa chini nitaeleza makosa yanayoonekana madogo yanayofanywa na wanaume kitandani wakutanapo na wapenzi wapya ambayo wanawake huyapa uzito mkubwa:
1. Kumuandaa
Kumuandaa mwananamke sio pale muwapo kitandani tu, la hasha, maandalizi huanzia katika mazungumzo ili kumuweka katika mood. Hapa mwanaume anatakiwa aongee na mpenzi wake kwa lugha nzuri, kwa maneno matamu na yenye mahaba. Atumie muda mwingi kuzungumza naye, asiwe na haraka kuanza kufanya tendo. Mazungumzo yahusu masuala ya uhusiano ukiwemo upendo. Busu lililotulia na sio la papara linatajwa kuamsha hisia za mwanamke kushiriki tendo, lakini pia mwanaume anashauriwa kuwa msomaji mzuri wa hisia za mwanamke ili kujua ni eneo gani akimgusa kwa kumpapasa mwili wake unasisimka. Kwa mwanamke kufanya mapenzi sio kile kitendo cha kuingiliwa, bali ni kitendo cha kumuandaa kiakili na kimwili ili awe kwenye mood ya kushiriki jambo hilo. iwapo mwanaume akili yake itakuwa inalenga tu kile kilichopo katikati ya mapaja ya mwanamke na labda matiti yake, basi hapo mwanamke atamuona sio kabisa, yaani hatoweza kumfikisha kileleni.
2. Unadhifu
Hakuna kitu kinachowakera na kuwakwaza wanawake kama mwanaume mchafu hususan wakati wa kujamiiana. Hilo linaweza kumfanya mwanamke asifikirie tena kufanya tendo na mwanaume huyo. Unakuta mwanaume ananuka kikwapa au amevaa chupi wiki nzima bila kuifua na akiivua eneo la chini ya kitovu lote linanuka au ana kucha ndefu tena chafu na zina ncha kali kwenye kona (sharp edge) kiasi kwamba akimpapasa mwanamke zinamkera badala ya kumpa ashki. Akipumua mdomo unanuka, yaani akimpiga busu mwanamke anamkata stimu yote ya kufanya tendo hata kama alikuwa tayari. Inashauriwa mwanaume kuoga na kupiga mswaki kama hana uhakika na harufu ya kinywa chake, la sivyo anaweza kutumia chewing gum za kuondoa harufu mbaya mdomoni kabla ya kukutana na mwanamke na pia kukata kucha na kuondoa ncha kali zile zinazojitokeza pembeni ya ukucha ili zisimkere mwanamke wakati wa kumuandaa……
3. Mapenzi ya vurugu na yenye kuumiza
Tukiacha tatizo la kukerwa na harufu na kucha, lakini pia wanawake hawapendi mwanaume anayetwanga nje ndani wakati wa kufanya mapenzi kama vile anachimba dhahabu. Wanawake wanapenda mitwango yenye staha. halafu itokee mwanaume huyo awe ana kucha ndefu zenye ncha zilizojitokeza pembeni, kisha awe anautumia mkono wake kumpapasa mwanamke sehemu mbalimbali za mwili wake huku akiendelea kutwanga kwa fujo……..Aaaaaaagh!!
Asije akatarajia mwanamke huyo akatamani tena kujaamiana naye, labda kuwe na kitu kingine anachokitafuta kwa mwanaume huyo na siyo mapenzi. Kuna baadhi ya wanaume hupenda kuchezea chuchu za maziwa wakati wa kufanya mapenzi kwa kuziminya kwa nguvu au kung’ata maeneo mbalimbali ya mwili wa mwanamke kwa nguvu. Mwili wa mwanamke uko laini laini na unatakiwa ashikweshikwe kwa makini na kwa staha. Hakuna ubaya kumng’ata ng’ata mwanamke kimapenzi (love bite) hapa na pale lakini inashauriwa kuchunguza kama anafurahia kitendo hicho kwa kumwagalia usoni, akiona anaonyesha sura ya kukereka kwa maumivu, basi inashauriwa kuacha na kubadilisha kwa kujaribu kitu kingine kwani wanawake wana maeneo mengi sana ya kuamsha ashki, na akimpatia atamsikia mwenyewe akiweka msisitizo kwamba aendelee……
4. Kimya mno ….. Au kupiga makelele
Wanaume wengi hupenda sana mwanamke anapopiga makelele pale wafanyapo mapenzi lakini pia wanawake hupenda kuona kama mwanaume naye anafurahia tendo kama anavyofurahia yeye anavyofurahia. kama mwanaume ni mkimya anapofanya mapenzi yaani haongei chochote yeye anatwanga tu, mwanamke anaweza kujiuliza kama mwanaume huyo anafurahia tendo au la. Wakati mwingine ile sauti ya kupumua kwa sauti itolewayo na mwanaume wakati wa kufanya mapenzi inaweza kuwaridhisha baadhi ya wanawake, lakini wengine wanapenda kusikia mazungumzo kutoka kwa mwanaume. Iwapo mwanaume atapotelewa na maneno kutokana na kusikilizia utamu wa tendo inashauriwa japo ataje jina la mwanamke hata mara chache ili kumfanya mwanamke ajue kuwa akili na mawazo ya mwanaume huyo yapo kwake.
Hapa naomba kuweka angalizo…. kama mwanaume ni mtu wa kuongea sana wakati wa kufanya mapenzi anaweza kumpotezea mwanamke umakini wa kuvuta hisia ili kufika kileleni. Kwani kuna baadhi ya wanaume huwauliza wanawake wanaofanya nao mapenzi maswali mengi yasiyo na maana.. “Unauonaje huu mtindo.” “Unajisikiaje nikikushika hapa.” “Je ninafanya vizuri na huumii.” Lo lo lo lo loooooo….Huna haja ya kuuliza maswali yote hayo, kwani mwili wake unakupa ushirikiano sasa maswali yote hayo ya nini….! Najua hakuna ubaya kumuuliza mwanamke kama anajisikiaje au kama unavyofanya ni sahihi kwa maana kama mtindo unaotumia haumuumizi, lakini hilo hufanyika katika hatua ya mwanzo, sio pale mchezo umekolea unaanza kuuliza maswali, unakuwa unamkera tu…… Funga mdomo wako na uendelee na shughuli.
5. Kulazimisha Oral Sex
Nikisema oral sex, nadhani mnaelewa. Kuna baadhi ya wanaume hupenda kuchezewa sehemu za siri au kunyonywa. Si vyema kumlazimisha mwanamke kunyonya bila ridhaa yake. Kama anapenda kufanya hivyo mwache aamue mwenyewe na sio umshike tu kichwani na kumuelekeza yalipo maumbile yako. Kama mwanamke anapenda kufanya hicho kitendo mwache afanye mwenyewe na hahitaji kuelekezwa..
6. Kumaliza haraka au kuchelewa kumaliza
Najua wanaume watasema “hii ni ‘too much.’ Kumaliza haraka ni shida na kuchelewa kumaliza pia ni shida, sasa tushike lipi…..!”Nataka muelewe, kama inakuchukua dakika mbili kumaliza, hilo ni tatizo kaka yangu, katafute msaada wa kitabibu uondokane na fedheha kabla ya kuparamia mwanamke. Kwa wanawake wengine inaweza isiwe ni tatizo iwapo utamuandaa vizuri kabla ya kumuingilia ili kama ni kumaliza mmalize pamoja hivyo kutogundua tatizo lako labda..! lakini kama sio mzuri katika kumuandaa mwanamke, linaweza kuwa tatizo na ukajikuta anakudharau baada ya kumaliza tendo… (Najua kwamba siku ya kwanza kukutana na mpenzi mpya inaweza kukufanya ukamaliza haraka kutokana na kuhemkwa, lakini basi jitahidi mara ya pili uende sawa usije ukamaliza haraka tena…..).
Lakini pia wanawake hawakuumbwa kwa ajili ya mashindano ya mbio za kufanya mapenzi. Nakubali kwamba wapo baadhi ya wanawake wanahitaji muda zaidi ili kufika kileleni. Lakini kama itachukua dakika 45 mpaka saa moja bado unatwanga tu, angalia usije msababishia mwenzio michubuko katika sehemu zake za siri.Kwa maoni yangu dk 10 hadi 20 zinafaa. Inatakiwa kuonyesha ushirikiano katika jambo hilo zaidi ya kujipendelea mwenyewe……!
7. Hutupi kifanyio baada ya kumaliza…!
Kutupa kondom uliyotumia wakati wa kufanya mapenzi ni kazi yako na si kazi yake. Sio uungwana umemaliza kufanya naye mapenzi kisha unamwagiza akatupe kondom uliyotumia. Lakini pia sio busara kuiweka chini na kuiacha ikichafua sakafu. Haijalishi mko guest house, nyumbani kwako au kwa mpenzi wako, kinachotakiwa ni kuonyesha ustaarabu. Ni nyema ukaivua na kuiviringisha kwenye toilet paper, karatasi au kipande cha gazeti na kuiweka mahali pazuri kabla ya kwenda kuitupa mahali panapostahili………. Vinginevyo mpenzi wako atakuona wewe sio msafi na siyo mstaarabu………….
Nawatakia Jumapili Njema, mie najiandaa kwenda kanisani kwangu FPCT Samaria

Jumapili, 9 Agosti 2015

Tanzania: Nane Nane Exhibitions to Boost Agricultural Sector



Bukoba — Kagera Regional Commissioner (RC) John Mongela has advised residents to utilise Nane Nane exhibition to boost production of food and cash crops to earn more money.
He also advised them to commercialise through modern bee keeping and honey harvesting.
Modern bee keeping and honey harvesting would add their income following outbreak of the destructive Banana Xanthomonas Wilt (BXW), also known as Banana Bacterial Wilt (BBW). Ms Mongela made the remarks on Wednesday while opening Nane Nane Exhibition at the Kyakailabwa Agricultural grounds, some five kms from Bukoba town.
The region had potential and a conducive weather climate to benefit from modern bee keeping and honey harvesting. People should change their mindset and move with time.
There is no reason at all to complain without taking any action, he said. Available data indicate that a total of 672 farmers engaged in active bee keeping out of whom 420 were males and 252 women while the number of beehives increased from 151,860 during 2005/2006 to 212, 250 during 2010/2011 equivalent to 13.8 per cent increase.
Some 22 youth in Misenyi District under the umbrella "Shubila Bee Keepers" increased beehives from 96 during 2013 to 460 by June this year, the Secretary of the group, Mr Venance Evarist, has disclosed.
Mr Evarist (22) told the "Daily News" in an interview at the Kyakailabwa Agricultural grounds, in Bukoba Municipality that bee keeping was a lucrative activity urging other youths in Kagera Region to borrow a leaf.
Youth and graduates from various colleges and universities should borrow a leaf by forming cooperative groups in bid to get self employment instead of depending on government alone.
The group was established by 22 youths who started with 96 bee hives which todate increased to 460. A litre of honey was sold at 10,000/- compared to a kilogram of coffee which fetch less than 1,000/-.
30 farmers' groups in Bukoba, Missenyi and Muleba districts, in Kagera Region recently formed a cooperative society dealing in Vanilla production in effort to have alternative cash crop.
The Director of Maruku Vanilla Farming and Processing Company Ltd, Mr Simeon Kimasha said a kilogram of green vanilla beans a farmer was being paid 9,000/- compared to a kg of coffee which fetches between 500/-1,000/-.
This is a golden opportunity for farmers in Kagera Region to make quick money by diversifying Vannila as an alternative cash crop.
A kilogram of vanilla grade one and two was being paid 9,000/- while grade three was 8,500/- up from 6,000/- paid last season. During 2014/15 crop buying season the company collected 20 tons of green vanilla beans compared to 15 tons collected during 2013/14
Two more cash crops, namely pepper and cocoa were still at preliminary stages, he said. The agriculture sector has consistently been dominant in the Kagera Regional economy.
The sector engages about 90 per cent of the region's economically active population in the production of food and cash crops. Agriculture contributes most of the region's cash income, mainly from coffee, cotton and tea. The sector accounts for about 50 per cent of the region's total income.
Mr Mongela also directed leaders in all seven districts of Muleba, Bukoba, Karagwe, Ngara, Kyerwa, Biharamulo and Misenyi districts to sensitise people to adopt fish farming and modern cattle rearing to improve their incomes.
Kagera Region has three viable cooperative unions, namely Kagera Cooperative Union (KCU), Karagwe District Cooperative Union (KDCU) and Biharamulo Cooperative Union (BCU).
The number of Savings and Credit Cooperative Societies (SACCOS) in Kagera region has increased from 232 in 2005 to 289 in 2010, equivalence of 80.3 per cent increase.
RC Mongela revealed that the working capital for SACCOS in the region also increased from 2.2bn/- in 2005 to 6.3bn/- in 2010.
He said the SACCOS also secured loans amounting to 1.4bn/-. As for honey harvesting, modern bee-hives have also increased in number, from 151,860 in 2005 to 212,250 in 2010 while dairy cattle had increased in number from 18,200 to 19,843 in the said period.
The number of cows serviced with artificial insemination had increased from 4,198 (2005) to 6,222 by 2010. Available data indicate that Kagera Region has annual yield of about 650,000 tonnes of banana.
Banana is an economic backbone of Kagera residents, comprising over 2,458,023 people, according to the 2012 Population and Housing Census.
Authorities in Kagera Region are conducting on-spot inspection of banana plantains in effort to combat the deadly Banana Xanthomonas Wilt (BXW).
Eight districts in Kagera Region have confirmed to have been hit by the destructive Banana Xanthomonas Wilt (BXW), also known as Banana Bacterial Wilt (BBW) disease. Almost 90 per cent of the entire crop is at risk of destruction.
BXW is caused by the bacterium Xanthomonas campestris and affects all types of banana. The situation has caused panic among farmers and residents in the region who depend on banana as their main staple and cash crop.
BXW is a bacterial disease that causes yellowing and wilting of the leaves, uneven and premature ripening of the fruits and eventually the plants rot and die.

Jumapili, 2 Agosti 2015

Benin sends 800 troops to fight Boko Haram


Benin’s President Thomas Boni Yayi announced he will send 800 troops to join a new multinational force tasked with fighting Boko Haram militants after meeting with his Nigerian counterpart Muhammadu Buhari Saturday.
Buhari, who was sworn in on May 29, is facing a above all deadly surge of Islamist violence at home, with more than 800 people killed in north-eastern Nigeria in the last two months.
The violence has spread to neighbours Chad and Cameroon, both of whom have faced an unprecedented wave of suicide bombings on their soil in recent weeks.
After a visit to Cameroon earlier this week to chat about the fight against the Islamist group, Buhari was in Cotonou to attend celebrations marking Benin’s 55 years of independence.
Boni Yayi told reporters after a meeting with Buhari that Benin will show “solidarity” with its “brothers in arms” in the region by sending “a body of 800 men… to everlastingly combat these outlaws”.
Troops for the new multinational force, which includes soldiers from Nigeria, Cameroon, Niger and Chad as well as Benin, were set to be deployed at any time, according to its commander Major General Iliya Abbah on Saturday.
The force, made up of 8,700 troops and headquartered in Chad, is expected to help with better coordination of the regional offensive launched in February, which has made a run of successful inroads against Boko Haram but has failed to neutralise the militants.
The extremist group, whose name roughly translates as “Western culture is forbidden”, has carried on its campaign of attacks on wellbeing forces, suicide bombings and bloody raids on villages across Nigeria’s north and eastern borders despite the military campaign against them.
Boko Haram has kidnapped thousands of civilians, including women and children, with many either forced or indoctrinated into joining the extremists, rights groups say.(AFP)

Brad Pitt and Angelina Jolie To Adopt a Child from Kenyan


Hollywood star couple Brad Pitt and Angelina Jolie are  plotting to adopt a outcome from Kenya.
The couple who got married August last year already have a huge family of six family. They are by all accounts looking to add to the family according to OK! Magazine.
OK! reported that the couple have already ongoing the administer and are looking to finalize the deal during their trip to  Kenya for the “Africa” movie shoot which will be directed by Angelina Jolie and will star Brad Pitt.
If they to be sure go with the plans, this will be the following time the couple adopts a outcome from the region, one of their daughter Zahara is from the neighboring country Ethiopia.

Five Very Annoying Things Girls Do These Days


In a world where craziness,weirdness and absolute madness is celebrated,I personally find the following things girls do very annoying;
1.snapping pictures with one hand in between their legs as if sad their privates:is the world not sexualized enough for you folks?we would fare better if u stop redirecting our eyes to the curse that remains the bane to most guys progress in life.
2.wearing of leg chains,and toe rings:this act used to be the trademark of wayward girls back in the days but now its been normalized so much so that it has become a fashion trend among many girls.
3.dancing only with themselves(I.e girl and girl) in a party or club:this can be very annoying and suspicious especially when they constantly turn down advances from guys.
4.bleaching of the skin:so many coke and fanta skinned girls everywhere because of this useless mentality of “I must be honest to sell”Wetin you wan sell?black is gorgeous
5.wearing of skimpy and revealing clothes:yes!!we agree we like to see it but we rather to do so in private that’s why doz parts u show us in public and mess up our mind is called private parts..if you want to practice ashawo business get a room and stay there, don’t come to the public next time to cause vehicular and mindular accidents.thank you.
Kenyan Talk

Eddy Kenzo To Headline Performance At Afrikafest

Ugandan musician, BET Awards Best New International Artist 2015 and multi award winner Eddy Kenzo will co-highlight Afrikafest UK 2015 along with Zambian RNB sensation and soul diva Mampi Mukape which will take place at the London Troxy Arena on Oct 03, 2015.
Eddy Kenzo

The fest will be hosted by Africa’s Comedy Queen Kansiime Anne, Emceed by BEFFTA AWARDS Founder, Ms Pauline Long of Pauline Long Show Show.
The Fest will feature Burundian Singer, composer and master drummer, Nimbona Kidum Jean Pierre aka Kidum; Ugandan vocalist, singer, dancer and most much-admired diva of all time Iryn Namubiru Morel; Zimbabwean mega dancehall artist Donald Sniper Storm Chirisa a.k.a Sniper Storm “The General and the world’s renown soft soul music vocalist Mc Moseh a.ka. Mamas Boi
Anne Kansiime will host Afrikafest


The fest will be supported by some of the most well loved and respected UK-based African recording artists Hazel Mak, Lilian Kyeyune, Biggs Holiday, Rasta Soke, Alice Mauve Mutumba, Patrick Onen a.k.a Hyper Hype and Kuklee Ali.
Co-Hosted by Lady Nancy Mugga with DJs Mac De Pro, Dishonest Shahid, & D J Blair Kami who will be tied by Kenzo’s and Sniper Storm’s private DJs in daaaa mix.
Afrikafest is the largest East and Inner Southern African community event in Europe. It is an all-inclusive and purely social-cultural festival designed to promote and celebrate Africa Talent. It is an annual show that will feature different artists from across Africa and other regions. We will aim to include new and veteran talent.


Beauty Queen Sylvia Wilson Namutebi Engaged To Aly Alibhai

Former miss Uganda Sylvia Wilson Namutebi will soon become Mrs Aly Alibhai according to the latest like info reaching our desk. The two lovebirds got engaged yesterday pouring like onto each other. The two later expressed their joy at being engaged on their respective social media plat forms.
Aly Alibhai and Slyvia Namutebi

Looking forward to spending the rest of my life with this very special lady called Sylvia Namutebi, I like her so much,” Aly said after engaging her
“I am the most pleased person today because my like, my boo surprised me with an engagement this weekend, it was the most romantic ever,” Sylvia said after the ring.
Aly Allibhai; Looking forward to spending the rest of my life with this very special lady I like so much Sylvia Wilson Namutebi ‪#‎WereEngaged
Sylvia Wilson Namutebi; Most pleased day of my life! My boo, my friend, my like decided to bolt from the blue me with an engagement this weekend in the most romantic way ever! and I said yes! Looking forward to many more fantastic moments together with my like Aly Allibhai ‪#‎engaged


Meet Spin Master DJ Andy Skillz

Today we profile you one of Kampala’s top spin masters currently spinning for Kololo Gardens.. Read on
Mumanya Andrew aka DJ Andy Skillz was born in 1980s to Mr. Bazili, a former soldier and Ms Maria Nagawa from Zzana.
He went to St Noah Zzana then Kisubi savio, Kisubi Boys and St Mary’s College Kitende (smack).
Andy ongoing deejaying way in back in 1990s when he was still in primary with DJ Rhino Kalemba when he came back for holidays from teach, he would practice.
DJ Andy Skillz

DJ Kalemba is known for grooming DJs like Ricky, Charles Oimuke, Bob and so many others. He owns Rhino K sounds.
DJ Andy ongoing officially playing music in nightspots with Club Volts then Rouge to Steak Out, Rock bar Speke Hotel as well as Mask Lounge, Bukoto.
He has previously played with the late DJ Momo, DJ Bush Baby and other international guys. The DJ has also played for corporate functions like for the Bank of Uganda, he was hired for CHOGM parties in Munyonyo, played at the Akon welcome parties in Volts, Humura Hotel, Centenary bank, UMEME, St Lawrence schools and colleges and many others.
He said he has been groomed by different DJs like Shy, Rota, Kalemba and Ronnie of Soul Disco. Andy has also featured on east Africa tv, UBC, MTV back in the days when he was at Rouge.
The DJ is also into marketing and is behind marketing the Ugandan UK convention 2015 and promoting Grace Nakimera’s music.
DJ Andy Skillz doing what he does best and that’s mixing music

He is known as Uganda’s international DJ because of playing for high profile parties like for the Kabaka of Buganda at his Banda palace for over 5 times, some times at State House parties, US Embassy parties and St. Lawrence schools and was hired to play for the queen of England when she came for CHOGM.
Skillz also connects Ugandan artistes to Europe for conventions and parties and is at times hired to play at parties in Europe.
The Spin master is remembered for having been behind pulling the big crowd that used to flock club Volts. He was the star DJ well known for playing international music like Salsa, Deep House, Lounge Music, Latino, Rock, New Jack Swing, Soul, Hip-hop, Jazz, Rock,
Garage
Andy was the first the first DJ to introduce Serato scratch live in Uganda and that’s the DJ system he uses, it’s commonly used in Europe night clubs.
DJ Andy Skillz is currently the in house DJ for Kololo Gardens located on Prince Charles Drive, Kololo. Catch him everyday as he mixes you the best of music mixes.


USA President Barack Obama ‘Sauti Sol Lipala Dance’ Takes The World By Storm!

Sauti Sol, Kenyan multi-award attractive band, have yet again made global headlines by building USA President Barack Obama break into a jig during his much anticipated trip to Kenya. Sauti Sol were performing at a State House dinner event hosted by President Uhuru Kenyatta, in honour of President Obama’s visit to Kenya (25th July 2015)

A picture of Sauti Sol hugging and shaking hands with the Presidents: Barack Obama (USA) and Uhuru Kenyatta (Kenya), and a video of them all doing the #LipalaDance has since gone viral and become a commanding sign of cultural exchange in the wake of globalisation, and a call for youthful ways of starting entrepreneurship. “Americans in California are now dancing to Sura Yako,” said President Obama about cultural exchange, during several of his speeches while in Nairobi.

Sauti Sol authoritative proclamation reads: “We are more than thankful for the support President Uhuru Kenyatta has showed us throughout our career, and by extension Kenya’s bustling entertainment industry. Thankfulness to President Kenyatta’s crucial role in supporting local arts and culture industry in Kenya, our dream to go in honour of President Barack Obama has reached execution. Having both Presidents Uhuru and Obama join us to #LipalaDance is undoubtedly our greatest achievement and a prize too big no award can trump. We thank our fans from around the world, global media and celebrities still reposting and sharing the Obama #LipalaDance clip:  Watch President Obama Lipala Dance
Sauti Sol danced among the Presidents, Kenya’s First Lady Margaret Kenyatta, Obama’s sibling Auma Obama, his National Security Adviser Susan Rice, the Ambassador of the United States, Robert F. Godec and a host of other personalities, dignitaries and politicians, among them American R&B and hip hop artist Akon.

Guvnor Mourns Client As Police Take Over The Case

Guvnor Issues Authoritative Proclamation About The Incident
How Safe Are We In Bars?
Pictures Of ‘Killer’ Ivan And The Girl At The Centre Of Gruesome Murder
After the gruesome incident at industrial area based nightspot Guvnor in which partier was killed by a fellow partier, Uganda Police has taken over the case. Management of Guvnor have confirmed to us that they have forwarded the case details to police for the law to take its way. Ivan Kalyesubula hit Johnson Ahimbisibwe with a glass and the later was pronounced dead on arrival at Case Clinic for medical concentration.
Johnson socked in a pull of blood after the incident

GUVNOR UGANDA PRESS RELEASE
With deep sorrow, GUVNOR UGANDA regrets the death of its patron Johnnie Ahimbisibwe. Always smiling, laughing, smart and affable is how we shall always remember Johnny who spent many weekends with us having a good time.
What happened to him is tragic, and we have handed the case over to Uganda Police for the law to take its way. We are assisting the Police in every possible way, including CCTV footage of the incident.
GUVNOR UGANDA is renowned for its concentration to security matters, and many a times, we’re rebuked for being ‘too strict’. It’s all for the security of our esteemed clients, that we do everything humanly possible to keep them safe on site.
At this time, we would like the public to give the family of Johnny some concord to grieve their son, and to let the Police do its work unhindered, so as to get to the bottom of this tragic incident. It’s vital that facts are not muddled with rumors and insinuations because the result of that will be a messy Police investigation.
We assure the public and our esteemed clients that as always, we’ll do everything humanly possible to keep you safe within our premises.
We will put the family in our prayers and give them the help they need to take Johnny to his final resting place.
R.I.P Johnnie
girl at the centre of the gruesome murder

How Safe Are We In Bars?
As the country woke up to the shocking news of brutal killing of a reveller at the Industrial area based posh hangout, Guvnor Nightspot, with a glass, how safe are we in such places. Johnson Ahimbisibwe was hit with a glass and was pronounced dead on arrival at Case Clinic hospital today morning
Ivan Kalyesubula with his girl friend

Ivan Kalyesubula a muscled man hit Johnson with a glass after an argument over the girl, the two have dated. Johnson was a boyfriend of Ivan’s current lover and the incident marks the end of fruitful life or lives the three have been income. Details of how the argument ongoing are still sketchy but it all stemmed from this gorgeous woman.
The safety of one’s life is a club or bar is not by a mere bouncer as many think but it’s you to provide physically security and here is how; take extra measures and be careful of people you interact with. If you see your enemy within relocate to another place, don’t confront because at that time, people are always under the influence of alcohol so their brains are already intoxicated. If your ex is around and has another man pretend as if you don’t know about her and don’t confront her man because the two of you went on…



DID You Miss Agness Masogange Killer and Hot Photos? These are The New Ones for Men Only…

DID You Miss Agness Masogange Killer and Hot Photos? These are The New Ones for Men Only…


Photos: Ashanti Puts Her hot Bikini Body on Display



The singer is currently on holiday in Costa Rica and showed off her incredible bikini during a beach visit.


To all Men, This lady needs your attention, See what she posted

To all Men, This lady needs your attention, See what she posted.



These Are The Finest A$SES In Kenya Every Man Wants To Taste … Pick One

Risper Faith

Miss Mselema

Huddah Monroe

Judy Onyango

Corazon Kwamboka

Vera Sidika
These Are The Finest A$ SES In Kenya Every Man Wants To Taste … Pick One