Jumatatu, 10 Agosti 2015

Mgombea Urais Kupitia UKAWA Achukua Fomu Leo


Mgombea urais kwa tiketi ya UKAWA Mheshimiwa Edward Lowassa leo hii achukua fomu ya kugombea urais.
Kundi kubwa la maandamano ya wanachama na wakereketwa wake wamsindikiza kwenye ofisi za tume ya taifa ya uchaguzi
Maandamano hayo yalianzia katika makao makuu ya Chadema





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni